Swali: Baadhi ya wagonjwa wakifanyiwa upasuaji katika jicho moja na daktari akamkatalia kusujudu wanaonekana baadhi yao wakiswali kwa kuketi chini na pengine wakafanya Tayammum.
Jibu: Asujudu kwa kuashiria. Kama amekataliwa kusujudu ainamishe kichwa chake zaidi kuliko Rukuu´ na asifanye Sujuud. Ikiwa yuko na kitambaa kichwani akipanguse. Aoshe uso wake na apanguse kichwa chake.
Swali: Lakini anaswali kwa kuketi chini?
Jibu: Hapana, haijuzu. Ni lazima kusimama isipokuwa ikiwa ni mgonjwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23582/حكم-المريض-الذي-منعه-الطبيب-من-السجود
- Imechapishwa: 16/02/2024
Swali: Baadhi ya wagonjwa wakifanyiwa upasuaji katika jicho moja na daktari akamkatalia kusujudu wanaonekana baadhi yao wakiswali kwa kuketi chini na pengine wakafanya Tayammum.
Jibu: Asujudu kwa kuashiria. Kama amekataliwa kusujudu ainamishe kichwa chake zaidi kuliko Rukuu´ na asifanye Sujuud. Ikiwa yuko na kitambaa kichwani akipanguse. Aoshe uso wake na apanguse kichwa chake.
Swali: Lakini anaswali kwa kuketi chini?
Jibu: Hapana, haijuzu. Ni lazima kusimama isipokuwa ikiwa ni mgonjwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23582/حكم-المريض-الذي-منعه-الطبيب-من-السجود
Imechapishwa: 16/02/2024
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-ambaye-daktari-amemkataza-kusujudu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)