Swali: Ni ipi hukumu kwa mfungaji kutumia manukato kwa aina zake zote?
Jibu: Manukato hayana neno – Allaah akitaka. Lakini mtu anatakiwa kujiepusha na manukato yenye pombe ni mamoja katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan na khaswa manukato ya ´cologne`. Imejulikana kwamba ndani yake kuna pombe.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 79
- Imechapishwa: 16/03/2024
Swali: Ni ipi hukumu kwa mfungaji kutumia manukato kwa aina zake zote?
Jibu: Manukato hayana neno – Allaah akitaka. Lakini mtu anatakiwa kujiepusha na manukato yenye pombe ni mamoja katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan na khaswa manukato ya ´cologne`. Imejulikana kwamba ndani yake kuna pombe.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 79
Imechapishwa: 16/03/2024
https://firqatunnajia.com/mfungaji-kutumia-manukato-aina-mbalimbali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)