Swali: Ni ipi hukumu ya kuogelea na kupiga mbizi?
Jibu: Kinachozingatiwa ni kwamba kusiingie kitu tumboni mwake. Ikiwa anaogelea baharini, ikiwa maji ni ya chumvi basi pengine yakapenyeza. Sisi tumeogelea ndani yake. Wakati mwingine mtu hahisi na tahamaki yamekwishapenyeza kooni. Kwa ajili hiyo tunashauri kujiepusha na jambo hilo. Lakini ikiwa maji si ya chumvi hayapenyezi kooni lakini kuna uwezekano nayo yakafanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
- Imechapishwa: 18/03/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya kuogelea na kupiga mbizi?
Jibu: Kinachozingatiwa ni kwamba kusiingie kitu tumboni mwake. Ikiwa anaogelea baharini, ikiwa maji ni ya chumvi basi pengine yakapenyeza. Sisi tumeogelea ndani yake. Wakati mwingine mtu hahisi na tahamaki yamekwishapenyeza kooni. Kwa ajili hiyo tunashauri kujiepusha na jambo hilo. Lakini ikiwa maji si ya chumvi hayapenyezi kooni lakini kuna uwezekano nayo yakafanya hivo.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
Imechapishwa: 18/03/2024
https://firqatunnajia.com/mfungaji-kupiga-mbizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)