Swali: Vipi mfungaji kuzimia na kutapika?
Jibu: Kuhusu kuzimia hakuzingatiwi kunaharibu swawm. Vivyo hivyo kutapika. Kuhusu Hadiyth isemayo:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
ni dhaifu.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
- Imechapishwa: 18/03/2024
Swali: Vipi mfungaji kuzimia na kutapika?
Jibu: Kuhusu kuzimia hakuzingatiwi kunaharibu swawm. Vivyo hivyo kutapika. Kuhusu Hadiyth isemayo:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
ni dhaifu.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
Imechapishwa: 18/03/2024
https://firqatunnajia.com/kuzimia-na-kutapika-kwa-mfungaji/