Swali: Vipi mfungaji kuzimia na kutapika?

Jibu: Kuhusu kuzimia hakuzingatiwi kunaharibu swawm. Vivyo hivyo kutapika. Kuhusu Hadiyth isemayo:

”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”

ni dhaifu.

  • Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
  • Imechapishwa: 18/03/2024