Swali: Kama nilikuwa na mfanyakazi anayenifanyia kazi na nikawa na kiwango cha pesa zake lakini hata hivyo simpati ili nimpe haki yake. Nimfanye nini?
Jibu: Ikiwa mtu anayo haki ya mwingine na amemkosa na hajui mahali alipo, amtolee nazo swadaqah kwa manuizi. Allaah atamfikishia thawabu zake. Namna hiyo dhimma yake itakuwa imetakasika. Akija baada ya kipindi fulani atampa khiyari; akitaka atakubali swadaqah aliyotolewa na thawabu zitakuwa zake, na akitaka atampa haki yake na thawabu zitamrudilia yeye.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4428/ما-حكم-من-عنده-حق-لانسان-فلم-يجده
- Imechapishwa: 17/06/2022
Swali: Kama nilikuwa na mfanyakazi anayenifanyia kazi na nikawa na kiwango cha pesa zake lakini hata hivyo simpati ili nimpe haki yake. Nimfanye nini?
Jibu: Ikiwa mtu anayo haki ya mwingine na amemkosa na hajui mahali alipo, amtolee nazo swadaqah kwa manuizi. Allaah atamfikishia thawabu zake. Namna hiyo dhimma yake itakuwa imetakasika. Akija baada ya kipindi fulani atampa khiyari; akitaka atakubali swadaqah aliyotolewa na thawabu zitakuwa zake, na akitaka atampa haki yake na thawabu zitamrudilia yeye.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4428/ما-حكم-من-عنده-حق-لانسان-فلم-يجده
Imechapishwa: 17/06/2022
https://firqatunnajia.com/mfanyakazi-aliyepotea-pasina-mshahara-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)