Swali: Wakati tunapowalingania manaswara wanasema kuwa wao hawamshirikishi Allaah kwa kuwa…
Jibu: Hawamshirikishi Allaah ilihali wanasema al-Masiyh ni mtoto wa Allaah na Allaah ni utatu? Ikiwa hii sio shirki, shirki iko wapi? Hii ndio shirki kubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Kusema kwamba al-Masiyh ni mtoto wa Allaah, hii ndio shirki kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-01061435-01.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Wakati tunapowalingania manaswara wanasema kuwa wao hawamshirikishi Allaah kwa kuwa…
Jibu: Hawamshirikishi Allaah ilihali wanasema al-Masiyh ni mtoto wa Allaah na Allaah ni utatu? Ikiwa hii sio shirki, shirki iko wapi? Hii ndio shirki kubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Kusema kwamba al-Masiyh ni mtoto wa Allaah, hii ndio shirki kubwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-01061435-01.mp3
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/mfano-wa-ushirikina-wa-manaswara/