Swali: Wakati tunapowalingania manaswara wanasema kuwa wao hawamshirikishi Allaah kwa kuwa…

Jibu: Hawamshirikishi Allaah ilihali wanasema al-Masiyh ni mtoto wa Allaah na Allaah ni utatu? Ikiwa hii sio shirki, shirki iko wapi? Hii ndio shirki kubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Kusema kwamba al-Masiyh ni mtoto wa Allaah, hii ndio shirki kubwa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-01061435-01.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020