Swali: Nina shangazi na ami zangu ambao sina mawasiliano nao na wala siwatembelei. Mwenendo wangu huu unazingatiwa ni katika kukata udugu?
Jibu: Ndio. Ikiwa huna mawasiliano nao na wala huwatembelei ni katika kukata udugu. Haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Nina shangazi na ami zangu ambao sina mawasiliano nao na wala siwatembelei. Mwenendo wangu huu unazingatiwa ni katika kukata udugu?
Jibu: Ndio. Ikiwa huna mawasiliano nao na wala huwatembelei ni katika kukata udugu. Haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/mawasiliano-na-shangazi-na-ami/