Swali 140: Je, matunda ya miti inayomiminiwa kwa maji najisi yanaliwa?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Wale wanaosema kwamba inasafika kwa kubadilika kimuundo wanasema kuwa inaliwa. Miongoni mwa wanazuoni hao ni Shaykh-ul-Islaam. Na wanakataza wale wanaosema kwamba kubadilika kimuundo hakuufanyi ukawa msafi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 66
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 140: Je, matunda ya miti inayomiminiwa kwa maji najisi yanaliwa?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Wale wanaosema kwamba inasafika kwa kubadilika kimuundo wanasema kuwa inaliwa. Miongoni mwa wanazuoni hao ni Shaykh-ul-Islaam. Na wanakataza wale wanaosema kwamba kubadilika kimuundo hakuufanyi ukawa msafi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 66
Imechapishwa: 26/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/matunda-ya-miti-inayomiminiwa-maji-najisi/