Swali: Kuna mwanamke aliyeninyonyesha. Je, ana haki yeye na watoto wake juu yangu kuwatembelea?
Jibu: Kuhusu matembezi, anazingatiwa ni mama yako. Mtembelee. Kuhusu kumpa matumizi hulazimiki kumhudumia, lakini ukifanya hivo ni vyema. Kufanya hivo ni kwa njia ya kutenda wema na si kwa njia ya ulazima.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 309
- Imechapishwa: 10/01/2025
Swali: Kuna mwanamke aliyeninyonyesha. Je, ana haki yeye na watoto wake juu yangu kuwatembelea?
Jibu: Kuhusu matembezi, anazingatiwa ni mama yako. Mtembelee. Kuhusu kumpa matumizi hulazimiki kumhudumia, lakini ukifanya hivo ni vyema. Kufanya hivo ni kwa njia ya kutenda wema na si kwa njia ya ulazima.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 309
Imechapishwa: 10/01/2025
https://firqatunnajia.com/matembezi-na-matumizi-kwa-mama-yangu-wa-kunyonya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)