Mtu akiwa katika neema siku zote hilo linaweza kumfanya kukosa kumshukuru Allaah (´Azza wa Jall) na kutomuwaza hata. Anapopatwa na matatizo anakuwa ni mwenye kukumbuka na kurudi kwa Mola wake (Subhaanahu wa Ta´ala). Hiyo inakuwa ni faida kubwa kwake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/231)
- Imechapishwa: 05/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)