Matatizo yanamfanya mja kumkumbuka Mola wake

Mtu akiwa katika neema siku zote hilo linaweza kumfanya kukosa kumshukuru Allaah (´Azza wa Jall) na kutomuwaza hata. Anapopatwa na matatizo anakuwa ni mwenye kukumbuka na kurudi kwa Mola wake (Subhaanahu wa Ta´ala). Hiyo inakuwa ni faida kubwa kwake.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/231)
  • Imechapishwa: 05/03/2023