Mambo ya Shari´ah inajuzu kusema “Allaah na Mtume Wake ndio wanajua zaidi”. Lakini kuhusu na mambo ya kilimwengu hutakiwi kusema “Allaah na Mtume Wake…” Badala yake sema “Allaah kisha Mtume…” Wakati mtu alipomwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Akitaka Allaah na wewe.”
Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Umenifanya kuwa mshirika wa Allaah. Badala yake sema “Akitaka Allaah peke yake.”[1]
[1]Ahmad (01/214).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/483)
- Imechapishwa: 20/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)