Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kumsomea Ruqyah mtoto wake wa kiume, rafiki yake wa kike au ndugu yake?
Jibu: Hakuna neno kwa hilo. Matabano yanafanywa na mwanaume na mwanamke pia. Inafaa kwa wote wawili kufanya. Ni sababu miongoni mwa sababu za ponyo kwa idhini ya Allaah (Subhaanah).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
- Imechapishwa: 03/12/2017
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kumsomea Ruqyah mtoto wake wa kiume, rafiki yake wa kike au ndugu yake?
Jibu: Hakuna neno kwa hilo. Matabano yanafanywa na mwanaume na mwanamke pia. Inafaa kwa wote wawili kufanya. Ni sababu miongoni mwa sababu za ponyo kwa idhini ya Allaah (Subhaanah).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
Imechapishwa: 03/12/2017
https://firqatunnajia.com/matabano-ya-mwanamke/