Swali: Baadhi ya maduka yanaweka mataa yenye mwangaza mkali kwa ajili ya kung´arisha bidhaa zao. Je, huu ni ulaghai?
Jibu: Hapana. Mataa sio ulaghai. Ulaghai unakuwa katika yale yaliyofungamana moja kwa moja na bidhaa, kama vile mapambo, rangi na mengineyo. Ama umeme sio utapeli.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 04/02/2022
Swali: Baadhi ya maduka yanaweka mataa yenye mwangaza mkali kwa ajili ya kung´arisha bidhaa zao. Je, huu ni ulaghai?
Jibu: Hapana. Mataa sio ulaghai. Ulaghai unakuwa katika yale yaliyofungamana moja kwa moja na bidhaa, kama vile mapambo, rangi na mengineyo. Ama umeme sio utapeli.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 04/02/2022
https://firqatunnajia.com/mataa-yenye-kuangaza-sana-dukani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)