Swali: Inatokea wakati mwingine baadhi ya wenye kununua kwenye mtandao. Wanaona picha za bidhaa…

Jibu: Ununuzi wa kwenye mitandao unaingiliwa na ghushi, uwongo na mengine mengi. Haitoshi kuona picha peke yake kwenye mtandao. Haitoshi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
  • Imechapishwa: 04/02/2022