Swali: Kuna mtu anaswali mbele yangu kisha nikamfanya kuwa Sutrah ambapo yeye anaswali na mimi pia naswali?
Jibu: Haidhuru. Jambo ni lenye wasaa.
Swali: Mwanamke Haram?
Jibu: Hadhuru. Mwanamke Haram hadhuru.
Swali: Mwanamke amepatwa na jini na wakati anaposwali anahisi kuwa mbwa anapita mbele yake na kadhalika?
Jibu: Akipita mbele yake ndani ya dhiraa tatu au akapita baina yake yeye na Sutrah yake basi aikate. Hapa ni pale ambapo mbwa huyo ni mweusi.
Swali: Je, airudie swalah yake?
Jibu: Airudie swalah akipita mbele ya mswaliji au baina yake yeye na Sutrah yake. Ni lazima kuiswali upya ikiwa ni swalah ya faradhi.
Swali: Shaykh umesema kuwa ikiwa ni swalah ya faradhi aikate swalah yake – vipi ikiwa ni swalah inayopendeza?
Jibu: Ataikata. Lakini hatolazimika kuirudia kwa sababu ni swalah inayopendeza. Akiirudia ni vyema na asipofanya hivo hatolazimika, kwa sababu ni swalah inayopendeza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23668/حكم-سترة-المصلي-وما-يقطع-الصلاة
- Imechapishwa: 26/03/2024
Swali: Kuna mtu anaswali mbele yangu kisha nikamfanya kuwa Sutrah ambapo yeye anaswali na mimi pia naswali?
Jibu: Haidhuru. Jambo ni lenye wasaa.
Swali: Mwanamke Haram?
Jibu: Hadhuru. Mwanamke Haram hadhuru.
Swali: Mwanamke amepatwa na jini na wakati anaposwali anahisi kuwa mbwa anapita mbele yake na kadhalika?
Jibu: Akipita mbele yake ndani ya dhiraa tatu au akapita baina yake yeye na Sutrah yake basi aikate. Hapa ni pale ambapo mbwa huyo ni mweusi.
Swali: Je, airudie swalah yake?
Jibu: Airudie swalah akipita mbele ya mswaliji au baina yake yeye na Sutrah yake. Ni lazima kuiswali upya ikiwa ni swalah ya faradhi.
Swali: Shaykh umesema kuwa ikiwa ni swalah ya faradhi aikate swalah yake – vipi ikiwa ni swalah inayopendeza?
Jibu: Ataikata. Lakini hatolazimika kuirudia kwa sababu ni swalah inayopendeza. Akiirudia ni vyema na asipofanya hivo hatolazimika, kwa sababu ni swalah inayopendeza.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23668/حكم-سترة-المصلي-وما-يقطع-الصلاة
Imechapishwa: 26/03/2024
https://firqatunnajia.com/maswali-kadhaa-muhimu-kuhusu-sutrah-na-mbwa-anayepita-mbele-ya-mswaliji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)