Swali: Je, ni katika matangamano mazuri ya lazima mwanamke kumpikia chakula mume wake?
Jibu: Hivo ndivo walivofanya Maswahabah wa kike. Maswahabah wa kike walikuwa wakiwahudumia waume zao, kama alivosema Ibn-ul-Qayyim. Hivo ndivo walikuwa wakiishi Maswahabah wa kike (Radhiya Allaahu ´anhum).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 28/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)