826- Nimemsikia Ahmad akiulizwa kama inafaa kwa Muhrim kufunga kichwa chake kwa mkanda wa ngozi. Akajibu: “Hapana.” Kukasemwa: “Ikiwa ni kwa sababu kichwa kinamuuma?” Akajibu: “Hivyo basi atatoa kafara.”
827- Nilimuuliza Ahmad: “Je, Muhrim anaweza kufunika uso wake?” Akasema: “Ndio.” Nikauliza: “Je, anaweza kufunika nyusi zake?” Akajibu: “Ndio.” Nikauliza: “Je, anaweza kufunika masikio yake?” Akajibu: “Hapana.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 174
- Imechapishwa: 26/03/2021
826- Nimemsikia Ahmad akiulizwa kama inafaa kwa Muhrim kufunga kichwa chake kwa mkanda wa ngozi. Akajibu: “Hapana.” Kukasemwa: “Ikiwa ni kwa sababu kichwa kinamuuma?” Akajibu: “Hivyo basi atatoa kafara.”
827- Nilimuuliza Ahmad: “Je, Muhrim anaweza kufunika uso wake?” Akasema: “Ndio.” Nikauliza: “Je, anaweza kufunika nyusi zake?” Akajibu: “Ndio.” Nikauliza: “Je, anaweza kufunika masikio yake?” Akajibu: “Hapana.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 174
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/masikio-hayatakiwi-kufunikwa/