Mu´tazilah Qadariyyah wao hawana jengine isipokuwa matakwa aina moja ambayo ni matakwa ya kidini na Kishari´ah. Wamethibitisha matakwa aina hii peke yake. Wanaokabiliana nao ni Jabriyyah ambao hawana jengine isipokuwa matakwa ya kilimwengu na wakakanusha matakwa ya kidini na Kishari´ah. Hivyo wakawa wamepotea.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/58)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket