Mu´tazilah Qadariyyah wao hawana jengine isipokuwa matakwa aina moja ambayo ni matakwa ya kidini na Kishari´ah. Wamethibitisha matakwa aina hii peke yake. Wanaokabiliana nao ni Jabriyyah ambao hawana jengine isipokuwa matakwa ya kilimwengu na wakakanusha matakwa ya kidini na Kishari´ah. Hivyo wakawa wamepotea.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/58)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Mu´tazilah Qadariyyah wao hawana jengine isipokuwa matakwa aina moja ambayo ni matakwa ya kidini na Kishari´ah. Wamethibitisha matakwa aina hii peke yake. Wanaokabiliana nao ni Jabriyyah ambao hawana jengine isipokuwa matakwa ya kilimwengu na wakakanusha matakwa ya kidini na Kishari´ah. Hivyo wakawa wamepotea.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/58)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/mapote-mawili-yanayokabiliana-katika-matakwa/