Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah):
“Hakuna awezae kumwaza wala kufahamu dhati Yake.”
Maana yake ni kwamba hakuna awezae kumwaza na kumjua. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) fahamu haziwezi kumtambua wala kumzunguka kwa ujuzi. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَلَا يُحِيطُونَ بِهِ عِلْمًا
“… na wala hawawezi kuizunguka elimu Yake.” (20:110)
Viumbe hawawezi kumjua Yuko namna gani na uhakika Wake. Wanaweza kumtambua kwa Majina na sifa Zake. Watamuona siku ya Qiyaamah [pasina kumzunguka wote]. Hii ni dalili inayoonesha ukamilifu wa ukubwa Wake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/61)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah):
“Hakuna awezae kumwaza wala kufahamu dhati Yake.”
Maana yake ni kwamba hakuna awezae kumwaza na kumjua. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) fahamu haziwezi kumtambua wala kumzunguka kwa ujuzi. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَلَا يُحِيطُونَ بِهِ عِلْمًا
“… na wala hawawezi kuizunguka elimu Yake.” (20:110)
Viumbe hawawezi kumjua Yuko namna gani na uhakika Wake. Wanaweza kumtambua kwa Majina na sifa Zake. Watamuona siku ya Qiyaamah [pasina kumzunguka wote]. Hii ni dalili inayoonesha ukamilifu wa ukubwa Wake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/61)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-hawaziki-wala-kutambulika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)