Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu Ahl-ul-Fatrah na wale ambao hawakufikiwa na ulinganizi na watoto wa washirikina waliofariki?
Jibu: Maoni yenye nguvu ni kwamba watasimamishiwa hoja siku ya Qiyaamah. Haya yametajwa na Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) na yametajwa pia na Ibn Kathiyr na wengineo katika mnasaba wa maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
”Hatukuwa Wenye kuadhibu mpaka tumtume Mtume.”[1]
[1] 17:15
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25064/ما-الراجح-في-اصحاب-الفترة-ومن-لم-تبلغه-الدعوة
- Imechapishwa: 10/02/2025
Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu Ahl-ul-Fatrah na wale ambao hawakufikiwa na ulinganizi na watoto wa washirikina waliofariki?
Jibu: Maoni yenye nguvu ni kwamba watasimamishiwa hoja siku ya Qiyaamah. Haya yametajwa na Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) na yametajwa pia na Ibn Kathiyr na wengineo katika mnasaba wa maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
”Hatukuwa Wenye kuadhibu mpaka tumtume Mtume.”[1]
[1] 17:15
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25064/ما-الراجح-في-اصحاب-الفترة-ومن-لم-تبلغه-الدعوة
Imechapishwa: 10/02/2025
https://firqatunnajia.com/maoni-yenye-nguvu-kuhusu-ahl-ul-fatrah/