Swali: Vipi kuhusu manii yanayomtoka mtu bila ya matamanio?
Jibu: Yakimtoka kutokana na maradhi hukumu yake ni sawa na mkojo… Hukumu yake ni sawa na takaka nyingine zote zinazomtoka mtu ambazo zinamuwajibishia kutawadha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24700/ما-حكم-المني-اذا-خرج-من-غير-شهوة
- Imechapishwa: 28/11/2024
Swali: Vipi kuhusu manii yanayomtoka mtu bila ya matamanio?
Jibu: Yakimtoka kutokana na maradhi hukumu yake ni sawa na mkojo… Hukumu yake ni sawa na takaka nyingine zote zinazomtoka mtu ambazo zinamuwajibishia kutawadha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24700/ما-حكم-المني-اذا-خرج-من-غير-شهوة
Imechapishwa: 28/11/2024
https://firqatunnajia.com/manii-yanayomtoka-mtu-bila-kutamani/