Swali: Manaswara wengi wa leo hawatendei kazi dini yao kabisa, isipokuwa kujinasibisha peke yake…
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amehalalisha vyakula vyao ndani ya Kitabu Chake, ingawa anajua watavyokuja kuwa. Amehalalisha (Subhaanah) ameruhusu moja kwa moja ingawa anajua watakavyokuja kuwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 19/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)