Swali 52: Ni ´ibaadah zipi zilizowekwa katika Shari´ah mwaka wa sita?
Jibu: Swalah ya khofu iliwekwa katika Shari´ah wakati wa vita vya ´Asfaan katika Jumaadaa al-Uulaa.
Katika Dhul-Qa´dah Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anataka kufanya ´Umrah, lakini akazuiliwa na washirikina Hudaybiyah. Ndipo kukatolewa kiapo cha utii chini ya mti na hukumu zinazohusiana na hajj iliyokatikizwa kutokana na vikwazo vinavyokubalika kwa mujibu wa Shari´ah.
Mwaka huohuo hijjah ikafaradhishwa, ndivo alivosema ash-Shaafi´iy.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 115
- Imechapishwa: 18/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)