Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema hivi na ilihali hakuna mtu wa Bid´ah. Pamoja na hivyo anatahadharisha nao (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa kuwa Allaah Alimueleza kuwa Ummah huu utapotea, utagawanyika, utatofautiana na utafuata njia za wale waliokuwa kabla yao. Allaah Alimueleza na yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaueleza Ummah wake.
Kutokana na kubughudhi na kuchukia kwake Bid´ah na kuikhofia juu ya Ummah wake akiitahadharisha katika kila Khutbah yake na kuisifu kwamba ni shari ya mambo:
“Shari ya mambo ya ni mambo ya kuzua.”
Uzushi huu inaweza kuwa kufuru kubwa, shirki kubwa, shirki ndogo, dhambi kubwa na kadhalika. Ni shari ya mambo na tunaomba kinga kwa Allaah.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/219)
- Imechapishwa: 19/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related

Wanaosherehekea maulidi ni moja kati ya mawili
https://www.youtube.com/watch?v=uUCyG_miqBQ Mpaka hapa tumepata kujua kuwa, kusherehekea Maulidi ya Mtume ni Bid´ah bila ya shaka. Na ni wajibu kuiacha na wala haijuzu kuifanya. Na yule atakayeyafanya, yuko baina ya mambo mawili: 1) Ima ni mjinga hajui haki, afunzwe na kuongozwa. 2) Au ni mwenye kasumba za kufuata matamanio na kiburi.…
In "Maulidi"
Hukumu ya wenye kufanya maulidi na mwenye kuyahudhuria
Swali: Ni ipi hukumu ya mazazi ya Mtume na ni ipi hukumu ya mwenye kuyahudhuria? Je, anaadhibiwa mwenye kuyafanya akifa ilihali yuko katika sura hii? Jibu: Hakukupokelewa kitu katika Shari´ah kinachofahamisha juu ya kuyasherehekea maulidi. Ni mamoja mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala ya mtu mwengine. Tunachojua…
In "Maulidi"
Viongozi wa Ahl-ul-Bid´ah ni wale wanaowafuata
Swali: Vipi kuhusu Bid´ah? Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu Bid´ah: "Tahadharini na mambo ya uzushi. Hakika kila kilichozuliwa ni Bid´ah. Kila Bid´ah ni upotevu. Kila upotevu ni Motoni." Mambo yakishakuwa hivo basi itambulike kuwa Bid´ah - ni mamoja iwe ule msingi wake au mwendelezo wake -…
In "Ibn ´Uthaymiyn msimamo kwa Ahl-ul-Bid´ah"