138- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye amepita pambizoni na mtu mwengine aliyesimama na kukojoa na akamsalimia. Akajibu:
“Amrudishie salamu baada ya kumaliza kukojoa. Asisalimie wakati yuko anakojoa. Amalize kukojoa kwanza.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/111)
- Imechapishwa: 06/02/2021
138- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye amepita pambizoni na mtu mwengine aliyesimama na kukojoa na akamsalimia. Akajibu:
“Amrudishie salamu baada ya kumaliza kukojoa. Asisalimie wakati yuko anakojoa. Amalize kukojoa kwanza.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/111)
Imechapishwa: 06/02/2021
https://firqatunnajia.com/maliza-kukojoa-kwanza-kisha-ndio-usalimie/