Maliza kukojoa kwanza, kisha ndio usalimie

138- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye amepita pambizoni na mtu mwengine aliyesimama na kukojoa na akamsalimia. Akajibu:

“Amrudishie salamu baada ya kumaliza kukojoa. Asisalimie wakati yuko anakojoa. Amalize kukojoa kwanza.”

  • Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/111)
  • Imechapishwa: 06/02/2021