Swali: Vipi kuhusu kuyaangaza makaburi?
Jibu: Hakuna neno ikiwa ni katika njia za kwenda makaburi na hayawashwi isipokuwa wakati wa haja. Hapana vibaya wakiweka mataa njiani au wakaja nayo. Kilichokatazwa ni kuweka mataa ndani ya makaburi. Hata hivyo hapana vibaya wakiyawasha wakati kuna haja kisha wakayazima baada ya kumaliza kuzika.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23216/ما-حكم-انارة-المقابر
- Imechapishwa: 02/12/2023
Swali: Vipi kuhusu kuyaangaza makaburi?
Jibu: Hakuna neno ikiwa ni katika njia za kwenda makaburi na hayawashwi isipokuwa wakati wa haja. Hapana vibaya wakiweka mataa njiani au wakaja nayo. Kilichokatazwa ni kuweka mataa ndani ya makaburi. Hata hivyo hapana vibaya wakiyawasha wakati kuna haja kisha wakayazima baada ya kumaliza kuzika.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23216/ما-حكم-انارة-المقابر
Imechapishwa: 02/12/2023
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kuweka-mataa-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)