Swali: Malengo ya kukatazwa kunywa moja kwa moja kutoka kwenye mdomo wa kiriba ni ili kusitoke ndani kitu cha kumdhuru?
Jibu: Udhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni ili kusitoke kitu chenye kumdhuru.
Swali: Vipi ikiwa ni kutoka kwenye chupa linaloonyesha ndani kuna nini?
Jibu: Muhimu ni kwamba sio haramu. Inachukiza. Kwa ajili hiyo alikunywa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka kwenye mdomo wa kiriba wakati kulipokuwa na haja ya kufanya hivo. Lakini ikiwa inawezekana kunywa kutoka kwenye chombo ndio salama zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23263/حكم-وحكمة-النهي-عن-الشرب-من-فم-القربة
- Imechapishwa: 14/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)