Swali: Malengo ya kukatazwa kunywa moja kwa moja kutoka kwenye mdomo wa kiriba ni ili kusitoke ndani kitu cha kumdhuru?
Jibu: Udhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni ili kusitoke kitu chenye kumdhuru.
Swali: Vipi ikiwa ni kutoka kwenye chupa linaloonyesha ndani kuna nini?
Jibu: Muhimu ni kwamba sio haramu. Inachukiza. Kwa ajili hiyo alikunywa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka kwenye mdomo wa kiriba wakati kulipokuwa na haja ya kufanya hivo. Lakini ikiwa inawezekana kunywa kutoka kwenye chombo ndio salama zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23263/حكم-وحكمة-النهي-عن-الشرب-من-فم-القربة
- Imechapishwa: 14/12/2023
Swali: Malengo ya kukatazwa kunywa moja kwa moja kutoka kwenye mdomo wa kiriba ni ili kusitoke ndani kitu cha kumdhuru?
Jibu: Udhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni ili kusitoke kitu chenye kumdhuru.
Swali: Vipi ikiwa ni kutoka kwenye chupa linaloonyesha ndani kuna nini?
Jibu: Muhimu ni kwamba sio haramu. Inachukiza. Kwa ajili hiyo alikunywa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka kwenye mdomo wa kiriba wakati kulipokuwa na haja ya kufanya hivo. Lakini ikiwa inawezekana kunywa kutoka kwenye chombo ndio salama zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23263/حكم-وحكمة-النهي-عن-الشرب-من-فم-القربة
Imechapishwa: 14/12/2023
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kunywa-kutoka-kwenye-mdomo-wa-kiriba-au-chupa/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket