Swali: Je, kumepokelewa makatazo ya kukaa kwa muda mrefu baada ya kumaliza kula?
Jibu: Sijafikiwa na chochote.
Swali: Vipi ikiwa mjinga anakemea kitendo hichi?
Jibu: Afunzwe. Mjinga afunzwe.
Swali: Kile chakula kilichobaki kinasamehewa [endapo kitamwagwa]?
Jibu: Kinatakiwa kushughulikiwa; ima wapewe wanyama, kuku au kizikwe kwenye udongo msafi. Hapana vibaya kikiliwa. Ikiwa meza ni safi ni sawa iwapo kitaliwa.
Swali: Asikemewe ambaye atakila?
Jibu: Hapana vibaya kikiliwa. Ni sawa pia wakipewa nacho kuku, njiwa au kikawekwa maeneo pasafi juu ya paa kwa ajili ya ndege.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23238/حكم-الجلوس-بعد-الطعام-والتصرف-ببقاياه
- Imechapishwa: 05/12/2023
Swali: Je, kumepokelewa makatazo ya kukaa kwa muda mrefu baada ya kumaliza kula?
Jibu: Sijafikiwa na chochote.
Swali: Vipi ikiwa mjinga anakemea kitendo hichi?
Jibu: Afunzwe. Mjinga afunzwe.
Swali: Kile chakula kilichobaki kinasamehewa [endapo kitamwagwa]?
Jibu: Kinatakiwa kushughulikiwa; ima wapewe wanyama, kuku au kizikwe kwenye udongo msafi. Hapana vibaya kikiliwa. Ikiwa meza ni safi ni sawa iwapo kitaliwa.
Swali: Asikemewe ambaye atakila?
Jibu: Hapana vibaya kikiliwa. Ni sawa pia wakipewa nacho kuku, njiwa au kikawekwa maeneo pasafi juu ya paa kwa ajili ya ndege.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23238/حكم-الجلوس-بعد-الطعام-والتصرف-ببقاياه
Imechapishwa: 05/12/2023
https://firqatunnajia.com/makatazo-kuketi-kitambo-kirefu-baada-ya-chakula/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)