Swali: Kuna maneno tunayosikia ya kwamba asli kwa majini ni kusema uongo. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Majini kuna wema na waovu. Si wote wenye kusema uongo.
وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ
“Miongoni mwetu [wako walio] wema na miongoni mwetu [wako walio] kinyume chake.” (72:11)
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ
“Miongoni mwetu [wako walio] Waislamu na miongoni mwetu [wako walio] wanaopotoa haki” (72:14)
Wao ni kama binaadamu. Si wote wanasema uongo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-15.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Kuna maneno tunayosikia ya kwamba asli kwa majini ni kusema uongo. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Majini kuna wema na waovu. Si wote wenye kusema uongo.
وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ
“Miongoni mwetu [wako walio] wema na miongoni mwetu [wako walio] kinyume chake.” (72:11)
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ
“Miongoni mwetu [wako walio] Waislamu na miongoni mwetu [wako walio] wanaopotoa haki” (72:14)
Wao ni kama binaadamu. Si wote wanasema uongo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-15.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/majini-yote-yanasema-uongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)