Swali: Kuna kigezo gani jina kuhesabiwa kuwa ni kujitakasa na hivyo kutakiwa kubadilishwa?
Jibu: Mtu anatakiwa kuchagua majina mazuri na ajiite kwayo. Majina mazuri ni yale yanayomnasibisha mtu kuwa mja wa Allaah na majina ya Mitume yote ni mazuri. Msingi ni kusalimika isipokuwa yale majina yanayonasibisha kuwa mtu ni mja wa asiyekuwa Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23079/ما-ضابط-اختيار-الاسم-الطيب-دون-تزكية
- Imechapishwa: 27/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)