Swali: Maiti anatakiwa kulazwa upande gani?
Jibu: Imependekezwa kulazwa upande wa mkono wake wa kulia. Ni wajibu kumlaza hali ya kuelekea Ka´bah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ka´bah ndio Qiblah chenu waliohai na maiti.”[1]
[1] Abuu Daawuud (2875).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/182)
- Imechapishwa: 24/08/2021
Swali: Maiti anatakiwa kulazwa upande gani?
Jibu: Imependekezwa kulazwa upande wa mkono wake wa kulia. Ni wajibu kumlaza hali ya kuelekea Ka´bah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ka´bah ndio Qiblah chenu waliohai na maiti.”[1]
[1] Abuu Daawuud (2875).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/182)
Imechapishwa: 24/08/2021
https://firqatunnajia.com/maiti-anatakiwa-kulazwa-upande-gani/