Swali: Jamaa pekee ndiye anayetakiwa kumfungia?
Jibu: Wale ndugu wa karibu. Walii wake ni wale ndugu zake wa karibu. Lakini hapana vibaya akifungiwa na wengine. Hilo ni kwa njia ya mapendezo.
Swali: Ni kwa njia ya mapendezo?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba ni kwa ajili ya mapendezo. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Wala habebi mbebaji mzigo [wa dhambi] wa mtu mwengine.” (06:164)
Maoni ya karibu na usawa – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwa ajili ya kutilia nguvu na usuniwaji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25154/هل-يجوز-الصوم-عن-الميت-من-وليه-وغيره
- Imechapishwa: 08/02/2025
Swali: Jamaa pekee ndiye anayetakiwa kumfungia?
Jibu: Wale ndugu wa karibu. Walii wake ni wale ndugu zake wa karibu. Lakini hapana vibaya akifungiwa na wengine. Hilo ni kwa njia ya mapendezo.
Swali: Ni kwa njia ya mapendezo?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba ni kwa ajili ya mapendezo. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Wala habebi mbebaji mzigo [wa dhambi] wa mtu mwengine.” (06:164)
Maoni ya karibu na usawa – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwa ajili ya kutilia nguvu na usuniwaji.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25154/هل-يجوز-الصوم-عن-الميت-من-وليه-وغيره
Imechapishwa: 08/02/2025
https://firqatunnajia.com/maiti-anafungiwa-na-jamaa-na-wengineo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)