Swali: Baadhi ya taasisi huko Ulaya hazimruhusu muislamu kuacha kazi kwa ajili ya kuswali ijumaa?
Jibu: Hali hii ni kama mlinzi. Ikiwa haruhusiwi, basi hili ni udhuru kwake. Ni kama mlinzi anayelinda nyumba, gereza au mali. Ni udhuru kwake kuswali Dhuhr ikiwa hawezi kuhudhuria swalah ya ijumaa. Ni kama mgonjwa ambaye anakuwa na udhuru. Anapewa udhuru wa kuacha wa kuacha ijumaa msikitini ikiwa hawezi kufika kwa sababu ya kuwa mlinzi, mgonjwa, mwenye khofu au hali kama hizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25152/حكم-من-يمنعه-عمله-عن-اداء-صلاة-الجمعة
- Imechapishwa: 08/02/2025
Swali: Baadhi ya taasisi huko Ulaya hazimruhusu muislamu kuacha kazi kwa ajili ya kuswali ijumaa?
Jibu: Hali hii ni kama mlinzi. Ikiwa haruhusiwi, basi hili ni udhuru kwake. Ni kama mlinzi anayelinda nyumba, gereza au mali. Ni udhuru kwake kuswali Dhuhr ikiwa hawezi kuhudhuria swalah ya ijumaa. Ni kama mgonjwa ambaye anakuwa na udhuru. Anapewa udhuru wa kuacha wa kuacha ijumaa msikitini ikiwa hawezi kufika kwa sababu ya kuwa mlinzi, mgonjwa, mwenye khofu au hali kama hizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25152/حكم-من-يمنعه-عمله-عن-اداء-صلاة-الجمعة
Imechapishwa: 08/02/2025
https://firqatunnajia.com/makampuni-ya-ulaya-yasiyowaruhusu-waajiri-kwenda-kuswali-ijumaa-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)