Swali: Je, inafaa kwa msafiri kukusanya swalah kabla hajatoka ndani ya mji wake?
Jibu: Haifai kwake kukusanya mpaka atoke ndani ya mji wake. Hafai kwake kufupisha wala kukusanya isipokuwa baada ya kuacha mji wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25151/هل-للمسافر-ان-يجمع-في-بلده-قبل-الخروج
- Imechapishwa: 08/02/2025
Swali: Je, inafaa kwa msafiri kukusanya swalah kabla hajatoka ndani ya mji wake?
Jibu: Haifai kwake kukusanya mpaka atoke ndani ya mji wake. Hafai kwake kufupisha wala kukusanya isipokuwa baada ya kuacha mji wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25151/هل-للمسافر-ان-يجمع-في-بلده-قبل-الخروج
Imechapishwa: 08/02/2025
https://firqatunnajia.com/haifai-kukusanya-wala-kufupisha-kabla-ya-kuacha-mji-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)