Swali: Aliyekuja kuchelewa akijiunga sehemu ya mwisho ya swalah na imamu anyanyue mikono yake?
Jibu: Anyanyue mikono yake wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam, wakati wa kurukuu na wakati wa kuinuka kutoka hapo.
Swali: Ainue mikono yake hali ya kuwa ameketi au amesimama?
Jibu: Wakati wa kusimama na katika hali ya kusimama.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23749/ما-مواضع-رفع-اليدين-في-الصلاة
- Imechapishwa: 19/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)