Swali: Je, kumethibiti Hadiyth Swahiyh kuhusu swalah ya janaza ya kwamba salamu inakuwa upande wa kulia tu au inakuwa upande wa kulia na wa kushoto?
Jibu: Kinachotendewa kazi ni kwamba salamu inakuwa upande wa kulia. Hichi ndicho kinachotendewa kazi na madhehebu [Hanbaliyyah]. Tusitoke katika hili pasina hoja na dalili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, kumethibiti Hadiyth Swahiyh kuhusu swalah ya janaza ya kwamba salamu inakuwa upande wa kulia tu au inakuwa upande wa kulia na wa kushoto?
Jibu: Kinachotendewa kazi ni kwamba salamu inakuwa upande wa kulia. Hichi ndicho kinachotendewa kazi na madhehebu [Hanbaliyyah]. Tusitoke katika hili pasina hoja na dalili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/madhehebu-ya-hanaabilah-juu-ya-ya-tasliym-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
