Swali: Madhambi madogo pekee ndio yanayosamehewa?
Jibu: Msingi ni kwamba kunasamehewa madhambi madogo pekee:
“… midhali mtu atajiepusha na madhambi makubwa.”
Ni sharti mtu ajiepushe na madhambi makubwa. Allaah (Ta´ala) amesema:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Mkijiepusha madhambi makubwa mnayokatazwa Tutakufutieni madhambi yenu madogo na Tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[1]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah tano, ijumaa moja mpaka nyingine na Ramadhaan mpaka Ramadhaan nyingine ni vyenye kufuta yaliyo kati yake midhali mtu atajiepusha na madhambi makubwa.”[2]
Ikiwa mambo haya makubwa ambayo ni katika nguzo za Uislamu yanafuta makosa pale ambapo mtu anajiepusha na madhambi makubwa, basi makosa mengine ni aula zaidi.
Swali: Baadhi ya watu wanakaa katika vikao wakisengenya na kufanya umbea kisha wanaambiana kuwa waseme kafara ya kikao[3] ili…
Jibu: Kwa hali yoyote kunatarajiwa kheri – Allaah akitaka.
[1] 04:31
[2] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (994).
[3] Tazama https://firqatunnajia.com/85-kafara-ya-kikao/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23360/هل-تكفير-السيىات-يكون-للصغاىر-فقط
- Imechapishwa: 02/01/2024
Swali: Madhambi madogo pekee ndio yanayosamehewa?
Jibu: Msingi ni kwamba kunasamehewa madhambi madogo pekee:
“… midhali mtu atajiepusha na madhambi makubwa.”
Ni sharti mtu ajiepushe na madhambi makubwa. Allaah (Ta´ala) amesema:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Mkijiepusha madhambi makubwa mnayokatazwa Tutakufutieni madhambi yenu madogo na Tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[1]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah tano, ijumaa moja mpaka nyingine na Ramadhaan mpaka Ramadhaan nyingine ni vyenye kufuta yaliyo kati yake midhali mtu atajiepusha na madhambi makubwa.”[2]
Ikiwa mambo haya makubwa ambayo ni katika nguzo za Uislamu yanafuta makosa pale ambapo mtu anajiepusha na madhambi makubwa, basi makosa mengine ni aula zaidi.
Swali: Baadhi ya watu wanakaa katika vikao wakisengenya na kufanya umbea kisha wanaambiana kuwa waseme kafara ya kikao[3] ili…
Jibu: Kwa hali yoyote kunatarajiwa kheri – Allaah akitaka.
[1] 04:31
[2] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (994).
[3] Tazama https://firqatunnajia.com/85-kafara-ya-kikao/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23360/هل-تكفير-السيىات-يكون-للصغاىر-فقط
Imechapishwa: 02/01/2024
https://firqatunnajia.com/madhambi-pekee-ndio-yanayosamehewa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)