Mabaki ya chakula kwenye takataka

Swali: Je, inafaa kutupa chakula kisicholika kwenye takataka?

Jibu: Usikiweki katika mahali panapodharauliwa. Kiweke maeneo pasafi, ili ndege na paka waweze kukila. Kiweke mahali pasafi, ili ndege au wanyama wakile.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
  • Imechapishwa: 25/05/2023