Swali: Mara nyingi natia shaka kama nimesujudu mara moja au mara mbili. Nifanye nini?
Jibu: Ikiwa ni wasiwasi, achana nao na utendee kazi vile inavyopelekea dhana yako kubwa. Lakini ikiwa ni kitu kinatokea mara fulani na haihusiani na wasiwasi, basi azingatie kile alichotia shaka hakipo, badala yake alete sijda nyingine na amalizie kwa sujuud ya kusahau.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 25/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)