Swali: Yapi maoni yako kwa mwenye kushiriki katika maandamano dhidi ya mtawala ili astafidi?
Jibu: Maandamano siyo katika matendo ya waislamu, maandamano siyo katika matendo ya waislamu bali ni fitina. Hayajulikani ila katika miji ya ulaya na miji ya makafiri.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=LwImfU_BWRs
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Yapi maoni yako kwa mwenye kushiriki katika maandamano dhidi ya mtawala ili astafidi?
Jibu: Maandamano siyo katika matendo ya waislamu, maandamano siyo katika matendo ya waislamu bali ni fitina. Hayajulikani ila katika miji ya ulaya na miji ya makafiri.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=LwImfU_BWRs
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/maandamano-hayajulikani-isipokuwa-kwa-makafiri/