Swali: Wasomi wa Tajwiyd wanasema kuwa Tajwiyd ni lazima na kwamba anapata adhambi asiyefanya hivo. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Si sahihi. Tawjiyd ina maana kwamba asitamke herufi kwa njia ya kubadilisha maana. Hii ndio Tajwiyd, nako ni kusoma Qur-aan kisawasawa kwa njia ya kutobadilisha maana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Wasomi wa Tajwiyd wanasema kuwa Tajwiyd ni lazima na kwamba anapata adhambi asiyefanya hivo. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Si sahihi. Tawjiyd ina maana kwamba asitamke herufi kwa njia ya kubadilisha maana. Hii ndio Tajwiyd, nako ni kusoma Qur-aan kisawasawa kwa njia ya kutobadilisha maana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/maana-ya-tajwiyd/