Swali: Je, kuna msingi wa maneno ya anayesema kuwa ngazi ya juu (الدرجة الرفيعة) ni yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuketi na Allaah juu ya ´Arshi Yake[1]?
Jibu: Kuna Hadiyth juu ya hilo. Lakini kuna neno katika cheni yake ya wapokezi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifasiri kuwa maana yake ni Nyumba Peponi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/13-mtume-juu-ya-arshi/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23696/ما-الدرجة-الرفيعة-المذكورة-في-الدعاء
- Imechapishwa: 05/04/2024
Swali: Je, kuna msingi wa maneno ya anayesema kuwa ngazi ya juu (الدرجة الرفيعة) ni yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuketi na Allaah juu ya ´Arshi Yake[1]?
Jibu: Kuna Hadiyth juu ya hilo. Lakini kuna neno katika cheni yake ya wapokezi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifasiri kuwa maana yake ni Nyumba Peponi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/13-mtume-juu-ya-arshi/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23696/ما-الدرجة-الرفيعة-المذكورة-في-الدعاء
Imechapishwa: 05/04/2024
https://firqatunnajia.com/maana-ya-ngazi-ya-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)