Swali: ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuunganisha swawm. Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Hakika wewe unafunga kwa kuunganisha.” Akasema: “Mimi si kama nyinyi. Mimi hulala nikilishwa na kunyweshwa na Mola wangu.”
Ameipokea pia Abu Hurayrah, ´Aaishah na Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anhum).
Jibu: Ni chakula maalum. Ni yale anayomfungulia Allaah katika nyenzo za maliwazo na kupata ladha ya kunong´onezwa naye. Sio chakula kinachofahamika. Angelikuwa ni mwenye kula basi asingefunga. Ni yale ambayo Allaah anamfungulia moyoni mwake katika maliwazo ya kumtaja Allaah na kumtii ndio yanachukua nafasi ya chakula.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22109/معنى-حديث-ابيت-عند-ربي-يطعمني
- Imechapishwa: 27/10/2022
Swali: ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuunganisha swawm. Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Hakika wewe unafunga kwa kuunganisha.” Akasema: “Mimi si kama nyinyi. Mimi hulala nikilishwa na kunyweshwa na Mola wangu.”
Ameipokea pia Abu Hurayrah, ´Aaishah na Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anhum).
Jibu: Ni chakula maalum. Ni yale anayomfungulia Allaah katika nyenzo za maliwazo na kupata ladha ya kunong´onezwa naye. Sio chakula kinachofahamika. Angelikuwa ni mwenye kula basi asingefunga. Ni yale ambayo Allaah anamfungulia moyoni mwake katika maliwazo ya kumtaja Allaah na kumtii ndio yanachukua nafasi ya chakula.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22109/معنى-حديث-ابيت-عند-ربي-يطعمني
Imechapishwa: 27/10/2022
https://firqatunnajia.com/maana-ya-mtume-kulishwa-na-allaah-anapokuwa-amefunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)