Swali: ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuunganisha swawm. Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Hakika wewe unafunga kwa kuunganisha.” Akasema: “Mimi si kama nyinyi. Mimi hulala nikilishwa na kunyweshwa na Mola wangu.”
Ameipokea pia Abu Hurayrah, ´Aaishah na Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anhum).
Jibu: Ni chakula maalum. Ni yale anayomfungulia Allaah katika nyenzo za maliwazo na kupata ladha ya kunong´onezwa naye. Sio chakula kinachofahamika. Angelikuwa ni mwenye kula basi asingefunga. Ni yale ambayo Allaah anamfungulia moyoni mwake katika maliwazo ya kumtaja Allaah na kumtii ndio yanachukua nafasi ya chakula.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22109/معنى-حديث-ابيت-عند-ربي-يطعمني
- Imechapishwa: 27/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)