Swali: Imekuja katika Hadiyth iliotaja majina mazuri mno ya Allaah kwamba:
“Yule atakayeyadhibiti [majina haya] ataingia Peponi.”
Nini maana ya kuyadhibiti majina haya?
Jibu: Maana ya kudhibiti ajue maana yake, amwabudu Allaah kwayo na amuombe kwayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
- Imechapishwa: 16/08/2020
Swali: Imekuja katika Hadiyth iliotaja majina mazuri mno ya Allaah kwamba:
“Yule atakayeyadhibiti [majina haya] ataingia Peponi.”
Nini maana ya kuyadhibiti majina haya?
Jibu: Maana ya kudhibiti ajue maana yake, amwabudu Allaah kwayo na amuombe kwayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (99) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-10-07-1440%D9%87%D9%80_0.mp3
Imechapishwa: 16/08/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-kuyadhibiti-majina-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)