Swali: Nini maana ya ´kufanya` katika maneno Yake (Ta´ala):
إِنَّا جَعَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا
“Hakika Sisi tumefanya Qur-aan ya Kiarabu.”? (43:03)
Jibu: Tumeisahilisha. Mu´tazilah wanasema:
إِنَّا جَعَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا
“Hakika Sisi tumefanya Qur-aan ya Kiarabu.”
bi maana tumeiumba. Ndio maana wanasema kuwa Qur-aan imeumbwa. Maana yake sahihi ni kwamba Allaah ameiwepesisha kwa lugha ya kiarabu. Kwa msemo mwingine ameiteremsha Qur-aan kwa kiarabu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qaa´idah al-Marraakushiyyah (02)
- Imechapishwa: 30/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)