Swali: Kusema kwamba Allaah ametulia (استقر) katika ´Arshi ni neno limethibiti?
Jibu: Ndio, kuna salaf waliosema hivo. Ni sawa. Mtu anaweza kusema:
1 – Kulingana (اسْتَوَى),
2 – Kutulia na kuthibiti (استقر),
3 – Kuwa juu (ارتفع), na
4 – Kuwa juu (صعد).
Matamshi yote haya yamethibiti kutoka kwa Salaf.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Kusema kwamba Allaah ametulia (استقر) katika ´Arshi ni neno limethibiti?
Jibu: Ndio, kuna salaf waliosema hivo. Ni sawa. Mtu anaweza kusema:
1 – Kulingana (اسْتَوَى),
2 – Kutulia na kuthibiti (استقر),
3 – Kuwa juu (ارتفع), na
4 – Kuwa juu (صعد).
Matamshi yote haya yamethibiti kutoka kwa Salaf.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/maana-nne-ya-neno-kulingana/