Swali: Vipi mwenye kusema ya kwamba haifai kuuliza swali lifuatalo “Allaah Yuko wapi?”
Jibu: Mtume aliulizi hivi. Alimuuliza mjakazi “Allaah Yuko wapi” akajibu “Mbinguni”. Hili ndio jibu. Baada ya hapo akamwambia bwana wake amwache huru kwa kuwa ni muumini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Vipi mwenye kusema ya kwamba haifai kuuliza swali lifuatalo “Allaah Yuko wapi?”
Jibu: Mtume aliulizi hivi. Alimuuliza mjakazi “Allaah Yuko wapi” akajibu “Mbinguni”. Hili ndio jibu. Baada ya hapo akamwambia bwana wake amwache huru kwa kuwa ni muumini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-kweli-haifai-kuuliza-allaah-yuko-wapi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)